Wednesday, March 13, 2013
MCHAKATO WA UCHAGUZI WA PAPA (CONCLAVE)
Wednesday, March 13, 2013 by Unknown
Makadinali 115 leo wanaanza mchakato wa kupiga kura ya kumchagua kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki duniani katika ukumbi wa ndani kwenye makao makuu ya Kanisa Katoliki, Vatican.
Katika kipindi hiki cha sala hakuna Papa aliewahi kuchaguliwa baada ya kura ya kwanza kupigwa.
Makadinali hao watapiga kura za siri hadi mara nne kila siku mpaka Papa mpya atakapochaguliwa.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 Responses to “MCHAKATO WA UCHAGUZI WA PAPA (CONCLAVE)”
March 14, 2013 at 12:00 AM
Mhuuu ahsante mungu
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.