Saturday, June 15, 2013
Onja ::Shamim Mwasha Aka Blogger' zeze' Ateuliwa Kuwa Balozi Wa Oxfam Tanzania
Saturday, June 15, 2013 by Unknown
Jana Mimi Pamoja Na Wenzangu Saba (7)
Tumeteuliwa Kuwa Mabalozi Wa Kampeni Ya Grow Inayoendeshwa Na Shirika
Lisilo La Kiserikali La Oxfam

Nilikuwa Na Machache Ya Kusema….Kuna Hadi Video
You Tube, Nitawawekea Hapa Hapa…Ili Nanyi Muungane Nami, Tulipe Chakula Ndo
Maisha Yenu
Nikikabidhiwa Tuzo, Na Mkurugenzi
Wa Idara Ya Uhakika Wa Chakula Wizara Ya Kilimo Ndugu,Karim Mtambo

Nikiwa
Na Mabalozi Wenzangu Kutokea Kushoto Masoud Ally ‘Kipanya’,Dina
Marios,Mgeni Rasmi Ambaye Ni (Mkurugenzi Wa Idara Ya Uhakika Wa Chakula
Wizara Ya Kilimo Ndugu),Karim Mtambo,,Da,Khadija Mwanamboka,,Jacob Steven,Na
Mimi
.(Mabalozi
Wengine Ni Mheshimiwa Halima Mdee Na Shyrose Banji)
Picha
Na Habari Zaidi Zaja, Usibonyeze Kidude!!
Kuijua
Kampeni Pitia Humu Growtanzania
via 8020blog
Tags:
burudani ,
kitaifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Onja ::Shamim Mwasha Aka Blogger' zeze' Ateuliwa Kuwa Balozi Wa Oxfam Tanzania”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.