Home
» burudani
» MASANJA, KIWEWE, JOTI, MC PILIPILI NA WACHEKESHAJI WENGINE NI LINI MTABADILIKA NA KUA KAMA HUYU JAMAA?? CHEKI ALIVYOJAZA UKUMBI HUKO UINGEREZA
Friday, February 21, 2014
MASANJA, KIWEWE, JOTI, MC PILIPILI NA WACHEKESHAJI WENGINE NI LINI MTABADILIKA NA KUA KAMA HUYU JAMAA?? CHEKI ALIVYOJAZA UKUMBI HUKO UINGEREZA
Friday, February 21, 2014 by Unknown

Hii ni show aliyofanya msanii Basket Mouth kutoka Nigeria, jamaa ni mkali sana wakuchekesha. Tiketi zilianza kuuzwa wiki moja kabla na zilishambuliwa kama utituli. Maajabu ya show hii ni kua mwanzo ilitarajiwa kua show hiyo ingezuliwa na wanigeria tu lakini siku ya show walijichanganya hadi wasio wanigeria.
Team nzima ya Bongoclan ikajiuliza je wachekeshaji wa Bongo wanashindwa kufanya kama jamaa huyu??? Kwa Bongo sijawahi kusikia kwamba Masanja, Joti, Kiwewe na wachekeshaji wengine wameandaa show Mlimani City au sehemu yoyote ile na wakatoza pesa jambo ambalo linaweza kuwapatia mshiko mrefu. Namalizia kwa kuwapaushauri wachekeshaji wengine kua WAKAMATE FURSA.
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
Tags:
burudani

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)














0 Responses to “MASANJA, KIWEWE, JOTI, MC PILIPILI NA WACHEKESHAJI WENGINE NI LINI MTABADILIKA NA KUA KAMA HUYU JAMAA?? CHEKI ALIVYOJAZA UKUMBI HUKO UINGEREZA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.