Home
» siasa
» Breaking News:Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare ameachiwa kwa dhamana
Wednesday, March 20, 2013
Breaking News:Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare ameachiwa kwa dhamana
Wednesday, March 20, 2013 by Unknown

credit- ITV
#Breaking News:Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na jeshi la polisi kwa siku 6 kwa tuhuma za uchochezi lakini akakamatwa tena muda huo huo kwa tuhuma za ugaidi na kutakiwa kupelekwa ngazi ya juu ya Mahakama kwa kuwa mahakama ya Kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya ugaidi

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Breaking News:Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare ameachiwa kwa dhamana”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.