Tuesday, March 19, 2013
J. ONE ADONDOSHA WIMBO MPYA
Tuesday, March 19, 2013 by Unknown
Huyu ndiye J One, Msanii katika mahadhi ya Bongo Flava kutoka katika mji wa madini Kahama. Anatambulisha Ngoma yake mpya ikiambatana na Video akimshirikisha Msanii wa Mwanza Baraka Prince, Ngoma Inakwenda kwa jina la Kisharo sharo.
Unaweza kuipata video ya J One ft Baraka Prince- Kisharo Sharo kupitia:http://www.youtube.com/watch?v=M2d-ztc6Pxo
Tags:
burudani

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “J. ONE ADONDOSHA WIMBO MPYA ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.