Home
» celebrities
» HATIMAYE BALOTELLI APIGWA KIBUTI NA DEMU WAKE ALIYESEMA ANGEMTOA SADAKA KWA WACHEZAJI WA REAL MADRID
Thursday, May 2, 2013
HATIMAYE BALOTELLI APIGWA KIBUTI NA DEMU WAKE ALIYESEMA ANGEMTOA SADAKA KWA WACHEZAJI WA REAL MADRID
Thursday, May 2, 2013 by Unknown

MARIO Balotelli ameachwa na aliyekuwa mchumba Fanny Neguesha — siku chache baada ya kuripotiwa kusema kwamba kikosi kizima cha Real Madrid kingeweza kulala nae ikiwa wangeitoa Borussia Dortmund.
Mwanamitindo Fanny, 22, aliondoka kwenye nyumba ya mshambuliaji huyo huko Italia baada ya kugombana kutokana kutoelewana baina ya wawili hao.
Straika huyo wa AC Milan Balotelli, 22, alisema wachezaji wote wa Madrid — akiwemo Cristiano Ronaldo — wangeweza kufanya mapenzi na demu wake Fanny ikiwa juzi wangeweza kufanya maajabu ya kugeuza matokeo ya mechi ya kwanza (4-1) na kufanikiwa kwenda Wembley.
Balo alikaririwa na gazeti la Marca akisema: “Ikiwa Real Madrid wataenda kucheza fainali ya Champions League, nitamtoa mchumba wangu alale nao wote." Ingawa baadae alikana kutoa kauli hiyo.
Balotelli aliachana na mama wa mtoto wake wa kike mtangazaji wa TV Raffaella Fico, 25, kisha ndio akaanzisha mahusiano na mwanamitindo Fanny ambaye ana asili ya Ubelgiji.TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Tags:
celebrities

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “HATIMAYE BALOTELLI APIGWA KIBUTI NA DEMU WAKE ALIYESEMA ANGEMTOA SADAKA KWA WACHEZAJI WA REAL MADRID ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.