Sunday, May 12, 2013
KERO :Geti la Stand ya Basi Ubungo Linatuzalilisha
Sunday, May 12, 2013 by Unknown
Amini usiamini, matofali unayoyaona ni kama support ya geti la kutokea magari stendi ya daladala Ubungo, kila gari hutozwa kati ya shs 500-1000 kutegemeana na ukubwa lakini hali ya geti ndiyo hiyo............HII NI KWA TZ TU.......Ukichukulia ndio Stand Kubwa ya Mabasi Kuliko zote Tanzania....Na watu mbali mbali ufikia hapa wengine kutoka Nje ya Nchi........
Tags:
kitaifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “KERO :Geti la Stand ya Basi Ubungo Linatuzalilisha ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.