Home
» michezo
» JUMA KASEJA ATUPIWA VILAGO RASMI SIMBA, ATOWEKA MAZOEZINI, ALAANI KUFANYIWA FUJO MORO.
Thursday, June 27, 2013
JUMA KASEJA ATUPIWA VILAGO RASMI SIMBA, ATOWEKA MAZOEZINI, ALAANI KUFANYIWA FUJO MORO.
Thursday, June 27, 2013 by Unknown
KLABU ya Simba ya Jijini Dar es Salaam,jana ilitangaza rasmi kumtema Nahodha wake ambaye pia ni Nahodha wa timu ya Taifa na Simba, Juma
Kaseja, ambaye alikuwa akiwaumiza vichwa viongozi wa Klabu hiyo.
Awali Kaseja, alikuwa akikaririwa na Vyombo vya habari kuwa hajajua
hatima yake na Klabu ya Simba na kuhusishwa ukimya wake na kuhamia Timu ya Azam, ambao awali walionyesha nia ya kumhitaji.
Lakini alipohojiwa Kaseja, alisema kuwa bado alikuwa akihitaji
kupumzika ili kujua kuwa atasain tena simba ama la, na kwa upande
wa Azam, walipohojiwa kuhusiana na hilo, nao waliruka Kimanga
kuonyesha nia ya kumhitaji Kipa huyo namba moja wa Simba.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “JUMA KASEJA ATUPIWA VILAGO RASMI SIMBA, ATOWEKA MAZOEZINI, ALAANI KUFANYIWA FUJO MORO. ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.