Monday, June 24, 2013
SUGU APIGILIA MSUMARI KAULI YAKE KWA KINGEREZA KUWA WAZIRI NI MPUMBAVU
Monday, June 24, 2013 by Unknown
Jana watu walizusha eti mweshimiwa KASANDA, Ahh wapi leo Kasisitiza, zaidi msome hapo!
...naskia kuwa watu wanasema kwamba eti nimefuta kauli yangu kuhusu waziri mkuu na amri yake kwa polisi kupiga wananchi?!...sina sababu ya kufuta wala kuomba radhi, na nasimamia kauli yangu to the end...kwanza 'upumbavu' sio tusi,upumbavu kwa kiingereza ni stupidity-which is lack of knowledge and understanding...so hata uwe na cheo gani kama ukishindwa kuwa na 'understanding' juu ya madhara ya kauli zako kwa taifa u are stupid...ambayo kwa kiswahili ndio mpumbavu"
TOA MAONI YAKO HAPA
Tags: kitaifa , siasa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “SUGU APIGILIA MSUMARI KAULI YAKE KWA KINGEREZA KUWA WAZIRI NI MPUMBAVU”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.