Home
» udaku
» "HARUSI YANGU NA PENNY NITAIFANYA LEADERS CLUB, WATU WATAINGIA KWA KIINGILIO KISICHOPUNGUA TSHS 10,000/=".....DIAMOND
Friday, July 5, 2013
"HARUSI YANGU NA PENNY NITAIFANYA LEADERS CLUB, WATU WATAINGIA KWA KIINGILIO KISICHOPUNGUA TSHS 10,000/=".....DIAMOND
Friday, July 5, 2013 by Unknown
Friday, July 5, 2013 | 11:22 AM
SIYO siri kwamba wapenzi wasio na kificho, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Penny Mungilwa wana malengo ya kuja kuishi kama mke na mume lakini maajabu ni namna mwanamuziki huyo alivyopanga sherehe ya ndoa yao iwe siku ikifika.

Nasibu Abdul ‘Diamond’.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Diamond alisema kuwa yamekuwepo maneno ya chinichini kuwa ameshatoa mahari na siku si nyingi ataingia kwenye maisha ya ndoa ila ukweli ni kwamba kila kitu kinafanyika kwa umakini na mashabiki watajulishwa hatua kwa hatua.
Read more: http://talkbongo.blogspot.com/2013/07/harusi-yangu-na-penny-nitaifanya.html#ixzz2Y9qQfubY
Tags:
celebrities ,
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “"HARUSI YANGU NA PENNY NITAIFANYA LEADERS CLUB, WATU WATAINGIA KWA KIINGILIO KISICHOPUNGUA TSHS 10,000/=".....DIAMOND ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.