Tuesday, July 2, 2013
ICE PRINCE AWABWAGA 2FACE TUZO BET
Tuesday, July 2, 2013 by Unknown

MUIMBAJI wa Nigeria, Ice Prince amewabwaga wasanii wenzake wa Afrika akiwemo 2Face Idibia (Nigeria), Toya Delazy (Afrika Kusini), R2Bees (Ghana), na Radio Weasel (Uganda), baada ya kuibuka kidedea katika kipengele cha 'Best International Act Africa' katika tuzo za BET zilizotolewa mwishoni mwa wiki nchini Marekani. Ice alionekana kuwabwaga wasanii hao kutoka Afrika kwa kuinyakua tuzo hiyo, ambayo aliamini imetokana na juhudi zake. Tuzo hizo ambazo zilihudhuriwa na nyota mbalimbali akiwemo Radio na Weasel, ambao waliweka wazi kuwa hata kama wakikosa tuzo hizo kitendo cha wao kutajw... more »

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ICE PRINCE AWABWAGA 2FACE TUZO BET ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.