Thursday, July 4, 2013
RACHEL AELEZA ALIVYO NUSURIKA KIFO
Thursday, July 4, 2013 by Unknown
MTANGAZAJI wa Runinga ya Star TV, Rachel Ndauka amefunguka kuwa amelichungulia kaburi baada ya kuugua na kulazwa kwa siku tatu wiki iliyopita.

Akichonga na paparazi wetu, Rachel alisema ameugua malaria kali ambayo ilimfanya alazwe hospitali ya Aga Khan na kutundikiwa dripu nyingi mpaka alipopata nafuu na kuruhusiwa.
“Malaria ni ugonjwa mbaya kwani hali yangu ilikuwa mbaya iliyonifanya nichungulie kifo, namshukuru Mungu nimepata nafuu na ninawashauri wenzangu wawe na tabia za kucheki afya zao kila wakati,” alisema Rachel.
Tags:
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “RACHEL AELEZA ALIVYO NUSURIKA KIFO”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.