Monday, July 1, 2013

RAIS OBAMA AKIWA ANASHUKA AIRPORT TANZANIA LEO 01/07/2013




Rais Barack Obama wa nchini Marekani na Mkewe Michelle Obama wakiwa sambamba na watoto zao,wakiwasili chana huu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere,jijini Dar es Salaam mchana huu kwa ziara ya siku mbili hapa nchini.



Ndege ya Rais wa Marekani ikiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere,mchana huu.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mgeni wake Rais wa Marekani,Barack Obama aliewasili nchini Mchana huu kwa ziara ya kikazi ya Siku mbili.



Rais Barack Obama akikwagua Gwaride maalum alilioandaliwa akiongozwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi,Jenelari Davies Mwamunyange.



Rais Barack Obama na Mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete wakiangalia ngoma za asili zilizokuwa zikitumuiza uwanjani hapo.kushoto ni Mke wa Rais wa Marekani,Michelle Obama.



Rais Barack Obama akiagana na Mama Salma Kikwete


Msafara wa Viongozi ukiondoka Uwanja wa Ndege.

Picha zaidi zitawajia baadae kidogo,kwa sasa tuanze na hizi kwa hisani ya TBC.

Tags: ,

0 Responses to “RAIS OBAMA AKIWA ANASHUKA AIRPORT TANZANIA LEO 01/07/2013”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI