Wednesday, March 26, 2014
Askari mmoja kati ya hao alikutwa amelewa pombe chakari kwenye hoteli moja huko Amsterdam ambapo Obama alienda kwa ajili ya mkutano wa mambo ya Nuclear.
Msemaji wa idara ya upelelezi Marekani alikataa kutoa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo ingawa alisisitiza kuwa watatu hao wameachishwa kazi kwa muda huku uchunguzi ukiendelea.
Mwaka 2013 majasusi wawili waliondolewa katika kikosi cha ulinzi cha Rais Obama kufuatia tuhuma za kuhusika na kashfa ya ngono na utovu wa nidhamu.
Mwaka 2012 majasusi kadhaa waliachishwa kazi kufuatia madai kuwa walikodi makahaba walipokuwa mjini Cartagena Colombia.
Tuesday, March 25, 2014
’Tuna Watanzania wengi tu ambao wapo kwenye magereza kule nchini China tumeshindwa kwa haraka haraka kupata idadi ya waliojihusha na shughuli ya dawa za kulevya’
‘Lakini wenzetu wanathamini zaidi mahusiano yetu na ndiyo maana hata wale wachache Watanzania waliohukumiwa kunyongwa kutokana na makosa hayo waliyotenda kule hawajanyongwa mpaka leo na hatutegemei kama watanyongwa sana sana watafungwa kifungo cha maisha’.
Monday, March 24, 2014
Monday, March 17, 2014
Au wakikuhurumia watakufanya hivi.

Ukishikwa China, watakupiga risasi mbele za watu,
Ukikamatwa Saudi Arabia, kama mkiwa wengi mtaadhibiwa kwenye kifaa hiki.

Kama siku hiyo mpo wachache, au ukiwa peke yako, utamalizana nao kwa style hii.
Ukikamatwa Pakistani, utaadhibiwa hivi.
Kwanini u'risk maisha yako?
Kijana, fikiria mama yako aliyekuzaa akiona unaishia hivi atasononekaje moyoni mwake?
Ni kweli umeishiwa mbinu za kujipatia kipato kwa njia nyingine halali?
Kijana wa Kitanzania, wewe ni spesho hakuna kama wewe.
Hakuna kitu chenye thamani kama maisha yako.
Usikubali kuwa punda wa kubebea watu madawa yao ya mabilioni ya pesa kisha wewe unaambulia pesa ya kununulia saloon car(kama ukinusurika kukamatwa
Kuala Lumper. Polisi nchini Malaysia wamevamia nyumba aliyokuwa akiishi rubani wa ndege iliyopotea na kuendesha msako mkali, ikiwamo kukusanya nyaraka muhimu ambazo zinazamiwa kuwa zitasaidia kufichua ukweli kuhusu tukio la kupotea kwa ndege hiyo.
Ripoti zilisema kuwa upekuzi huo, ambao pia umefanyika katika nyumba aliyokuwa akiishi rubani msaidizi, umefanyika baada ya kuibuka kwa taarifa zinazodai kuwa rubani huyo, Zaharie Ahmad Shah alikuwa na mrengo wa siasa kali.
Shah alikuwa ni shabiki na mfuasi wa wazi wa mwanasiasa wa upinzani, Anwar Ibrahim ambaye sasa yupo gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kujihusisha na vitendo vya fedheha.
Inaaminika kuwa rubani huyo alikuwapo mahakamani wakati mwanasiasa huyo alipopandishwa kizimbani mwezi Machi mwaka huu na pengine hakufurahishwa na hukumu hiyo.
Kwa sasa polisi wanashikilia nyaraka kadhaa, ikiwamo kompyuta ambayo inadhaniwa kuwa na taarifa muhimu zilizohifadhiwa na rubani huyo.
Polisi hao wameenda mbali zaidi kwa kuanzisha uchunguzi wa kimazingira ambao utasaidia kupata historia binafsi kuhusu maisha ya rubani huyo aliyetajwa kuwa na uzoefu mkubwa wa urushaji wa ndege.
Wataalamu wa saikolojia na wale wanaohusika na usalama wa anga wameitwa kuongeza nguvu ili kusaidia kuchambua taarifa zinazoendelea kukusanywa kuhusu mwenendo wa rubani Shah ambaye nyumba yake bado inaendelea kulindwa.
Kitendo cha polisi kuifanyia upekuzi nyumba ya rubani huyo pamoja na kukusanya taarifa zake binafsi kimeelezwa kwamba ni jitihada za Serikali kutaka kujiridhisha hasa kutokana na mazingira yanayohusisha upotevu wa ndege hiyo.
Wachunguzi hao wanataka kujua kama kumekuwa na tukio lolote la matatizo ya kiakili na kumewahi kujitokeza kwa changamoto za kifamilia kwa marubani hao au kwa yeyote aliyekuwamo kwenye ndege hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Kuala Lumpur na kuelekea Beijing.
Pamoja na kwamba marubani wa ndege hiyo ya Malaysia walikuwa na rekodi nzuri, kuna wasiwasi pengine walikutwa na tukio lililosababisha kujiingiza kwenye hali ambayo ingepoteza umakini wa kuongoza ndege.
Uchunguzi pia unawalenga abiria waliokuwemo kwenye ndege hiyo iliyokuwa na umri wa miaka 11 na kwamba hatua hiyo inaweza kusaidia upatikanaji ukweli halisi juu ya tukio hilo.
Serikali yaomba msaada
Friday, March 14, 2014
Wednesday, March 12, 2014

An explosion occurred today in a building in Manhattan's East Harlem neighborhood, collapsing at least part of the structure and injuring at least 11.
Plumes of thick smoke have engulfed the area around the building at 116th Street and Park Avenue after residents reported hearing a loud explosion around 9:30 a.m.
Shattered windows in nearby shopfronts show the extent of the explosion, which may have been caused by a gas leak, according to ABC station WABC.
A fire was reported in the building and the structural integrity of the structure may be compromised, with witnesses reporting a partial roof collapse. There are no reports of anyone trapped inside at this time.
Harlem Hospital told WABC they are treating one patient with "heavy trauma" and expecting one more. The other victims reportedly suffered minor injuries. An FDNY source told ABC News that one burn victim in very critical condition.
More to follow!
CREDIT-JF
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Mstaafu Damian Lubuva akifafanua jambo kwa msisitizo kuhusia na maandalizi ya mwisho ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga,unaotarajiwa kufanyika Machi 16,mkutano huo umewakutanisha wadau mbalimbali vikiwemo vyama vya Siasa,vyombo vya usalama na wadau wengine

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Mstaafu Damian Lubuva akizungumza mbele ya waandishi wa habari mapema leo,kuhusu uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga katika kikao cha pamoja na vyama vilivyosimamisha wagombea kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo ulioko Halmashauri ya wilaya ya Iringa Vijijini.Uchaguzi wa Jimbo hilo unatarajiwa kufanyika Machi 16.Ambapo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ameeleza kuwa idadi ya wapiga kura jumla yao ni 71,765.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Mstaafu Damian Lubuva akijadiliana jambo na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid kwenye mkutano uliohusu kupeana taarifa ya maandalizi ya mwisho ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga,unaotarajiwa kufanyika Machi 16,mkutano huo umewakutanisha wadau mbalimbali vikiwemo vyama vya Siasa,vyombo vya usalama na wadau wengine,mkutano huo umefanyika leo asubuhi kwenye ukumbi wa Siasa ni Kilimo zilizomo ndani ya Ofisi za Halmashauri Wilaya ya Iringa.

Mkurugenzi wa Oparesheni wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) katika uchaguzi wa Kalenga,Benson Kigaila wakisalimiana kwa furaha na Mmratibu wa kampeni CCM Kalenga Miraji Mtaturu.

Mkurugenzi wa Oparesheni wa chama cha demokrasia na maendeleo katika uchaguzi wa Kalenga Benson Kigaila aliyesimama kwa nyuma akizungumza na mratibu wa kampeni ccm Kalenga Miraj Mtaturu kulia kwake ni mratibu wa uchaguzi wa ccm Taifa Edwin Millinga.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Iringa ACP Ramadhani Mungi akijadiliana jambo na Afisa msajili msaidizi wa vyama vya siasa Sisty Nyahoza.

Wanahabari wakijadiliana jambo.

Baadhi ya Wanahabari wakiwa katika kikao cha Tume ya Uchaguzi n Vyama vya siasa na baadhi ya wadau wa usalama.PICHA NA MICHZUIJR.MICHUZI MEDIA GROUP-IRNGA
Tuesday, March 11, 2014
Kampuni ya google imekanusha habari zilizotapakaa kwenye mitandao mbalimbali duniani kwa kuweka picha ya Google Map ambayo inaonesha ndege ya Malaysia Airline ikiwa imedondondoka ndani ya maji. Msemaji wa google nchini Malaysia amesema
"Yes, the images may be there, but it is not real time satellite images as the images may have provided to us several weeks or months ago," he said when contacted.
Hii imetokana na kutapakaa kwa picha inayoonesha ndege ya Malaysia Airline imedondoka kwenye maji.
Mpaka sasa meli zipatazo 40 na ndege 34 zinazunguka bahari inayizunguka maeneo ya Vietnam na Malysia wakitafuta ndege ya Malaysia Airline iliyopotea toka jumamosi.
Nchi zinazoshiriki kuitafuta ndege hiyo ni Australia, China, Thailand, Indonesia, Singapore, Vietnam, Philippines, New Zealand na Marekani.
Ilikuwaje hadi pasta huyo kuhubiri na nyoka mgongoni?
Kupitia andiko la Marko 16:15-18, pasta huyo anaamini kuwa Yesu aliweza kuwaambia wakristo wote kuwa wanaweza kushika nyoka na hatawaumiza wala kuwadhuru bora tu uwe umebarikiwa na mungu mwenyewe.
Pasta huyo wa kanisa la Full Gospel Tabernacle in Jesus Name aliumwa na nyoka huyo mbele ya kanisa lake na ilimbidi kukimbizwa hadi nyumbani kwake bila kupelekwa hospitalini.
Wauguzi walipowasili nyumbani kwake waliweza kufukuzwa huku pasta huyo akiwa na imani kuwa mungu atamtibu ugonjwa wake, jambo ambalo halikufanyika
Ndege ya shirika la ndege la Malaysia (Malaysia Airlines).
Kuna mambo ambayo watu hawajafahamishwa kuhusu ndege ya shirika la ndege la Malaysia (Malaysia Airlines) safari namba Flight 370 ambayo imepotea ikiwa eneo la juu ya bahari katika Ghuba ya Thailand na watu 239.
Ndege hiyo aina ya Boeing 777 iliyopotea Jumamosi asubuhi wiki iliyopita na kutoonekana mpaka leo imewababaisha wataalam wengi duniani wa mambo ya usalama wa vyombo vya anga.
Hata hivyo, pamoja na mkanganyiko huo, gazeti la Wall Street Journal limeorodhesha mambo ambayo watu wengi hawayafahamu kuhusiana na kupotea kwa ndege hiyo. SOMA ZAIDI
Mambo hayo ni yafuatayo:
Ndege zote za Boeing 777 zina kisanduku maalum cha kutunza kumbukumbu za mawasiliano ya marubani wa ndege na waongoza ndege walioko ardhini (black box) ambacho hakiwezi kuharibika katika mlipuko wowote unaoweza kutokea kwenye ndege.
Kijisanduku hicho (black box) kina nguvu za kurusha mawimbi kuonyesha kilipo kwa siku zisizopungua 30 baada ya kuanguka baharini.
Hata hivyo, wataalam wameshindwa kunasa mawimbi ya chombo hicho na hivyo kuwa na wasiwasi kwamba huenda kimeharibiwa na nguvu kubwa isyokuwa ya kawaida.
Sehemu nyingi zilizoharibika za ndege huwa zinaelea juu ya maji baada ya ndege kuanguka baharini au majini.
Katika tukio hili hakuna kilichoonekana, na hivyo kuzua hofu kwamba ndege hiyo huenda imetoweka katika eneo la Dunia.
Iwapo kombora lingeipiga ndege hiyo, basi kombora hilo lingeonekana katika vyombo vya uchunguzi vya kijeshi na vya usalama wa safari za anga. Hii ni pamoja na kwamba huenda imepigwa na kombora na kuikatakata ndege hiyo katika vipande vidogo-vidogo.
Katika nadharia hii, hakuna dalili zozote zilizonaswa na vyombo vya ulinzi na usalama kuonyesha kulikuwa na kombora lililohusika.
Pamoja na eneo ambalo ndege hiyo ilikata mawasiliano na kupotea kufahamika, bado wataalam wameshindwa kujua iko wapi.
Kufahamu eneo la tukio, mwelekeo na kasi ya ndege hiyo, bado hakujasaidia kupatikana kwa ndege hiyo, hivyo kuzidisha hofu inayowachanganya wataalam.
Iwapo Flight 370 ilitekwa, isingeacha kuonekana kwenye vyombo vya kudadisia nyendo za vyombo vya angani (radar).
Nadharia ya kutekwa haina msingi wowote, kwani ndege zinazotekwa huwa hazitoweki katika radar.
HITIMISHO: Ndege hiyo ya Boeing 777 haikulipuka angani, bali imetoweka!
Sunday, February 23, 2014
Thursday, February 13, 2014
Sunday, December 15, 2013
Wednesday, December 11, 2013
Neslon Mandela's widow Graca Machel bids farewell to South African former president Nelson Mandela lying in state
Jacob Zuma, South Africa's current president, was joined by Mandela's widow Graca Michel, dressed in black, at the site
Winnie Mandela, ex-wife of former South African President Nelson Mandela, looks down while viewing his coffin as he lies in state at the Union Buildings in Pretoria
South African President Jacob Zuma (C) pays respect in front of the coffin of former South African President Nelson Mandela
Military outriders escort funeral cortege carrying the coffin of former South African President Mandela leaves 1 Military Hospital on outskirts of Pretoria
Military outriders escort funeral cortege carrying coffin of former South African President Mandela through a street of Pretoria
A South African military helicopter patrols over the 1 Military Hospital on the outskirts of Pretoria
The hearse carrying the coffin of former South African President Nelson Mandela travels through a street of Pretoria
Military outriders escort funeral cortege carrying coffin of former South African President Mandela through a street of Pretoria
The funeral cortege carrying the coffin of former South African President Mandela leaves the Military Hospital on the outskirts of Pretoria
A soldier guards a closed road as military outriders escort the funeral cortege carrying the coffin of Mandela in Pretoria
Military personnel prepare to carry the remains of the late Nelson Mandela at the Union Buildings in Pretoria
Military personnel prepare to carry the remains of the late Nelson Mandela at the Union Buildings in Pretoria
Military personnel prepare to carry the remains of the late Nelson Mandela at the Union Buildings in Pretoria





























