Home
» kimataifa
» ADHABU ZA WABEBA MADAWA YA KULEVYA KWA WABONGO INGEKUWA HIVI LAZIMA WANGEACHA TU...!!
Monday, March 17, 2014
ADHABU ZA WABEBA MADAWA YA KULEVYA KWA WABONGO INGEKUWA HIVI LAZIMA WANGEACHA TU...!!
Monday, March 17, 2014 by Unknown

Au wakikuhurumia watakufanya hivi.

Ukishikwa China, watakupiga risasi mbele za watu,
Ukikamatwa Saudi Arabia, kama mkiwa wengi mtaadhibiwa kwenye kifaa hiki.

Kama siku hiyo mpo wachache, au ukiwa peke yako, utamalizana nao kwa style hii.
Ukikamatwa Pakistani, utaadhibiwa hivi.
Kwanini u'risk maisha yako?
Kijana, fikiria mama yako aliyekuzaa akiona unaishia hivi atasononekaje moyoni mwake?
Ni kweli umeishiwa mbinu za kujipatia kipato kwa njia nyingine halali?
Kijana wa Kitanzania, wewe ni spesho hakuna kama wewe.
Hakuna kitu chenye thamani kama maisha yako.
Usikubali kuwa punda wa kubebea watu madawa yao ya mabilioni ya pesa kisha wewe unaambulia pesa ya kununulia saloon car(kama ukinusurika kukamatwa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
- ADHABU ZA WABEBA MADAWA YA KULEVYA KWA WABONGO INGEKUWA HIVI LAZIMA WANGEACHA TU...!!
- MAPOLISI WAIPEKUA NYUMBA YA RUBANI WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA
- MLINZI WA OBAMA AFANYA KUFURU NA VIHOKA JUU....
- Hii ndiyo Jumla ya Watanzania waliohukumiwa kunyongwa China.
- UTABIRI WA TB JOSHUA WATIMIA-NI KWELI AIR MALAYSIA ILIANGUKA INDIAN OCEAN NA HAKUNA ALIYE PONA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ADHABU ZA WABEBA MADAWA YA KULEVYA KWA WABONGO INGEKUWA HIVI LAZIMA WANGEACHA TU...!!”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.