Thursday, September 12, 2013
Mwandishi wa gazeti la MWANANCHI akatwa katwa mapanga mkoani SINGIDA
Thursday, September 12, 2013 by Unknown
Mwandishi wa habari wa gazeti la The Citizen na mwananchi mkoani Singida, Awila Silla amenusurika kuuawa na mtu anayedhaniwa kuwa Jambazi baada ya kukatwa katwa mapanga kichwani na kusababisha kuzirai. Tukio hilo limetokea juzi saa mbili usiku jirani na mahakama ya mwanzo ya Utemini mjini Singida.
Awila ambaye amelazwa wodi 2 katika hospitali ya mkoa amedai kuwa baada ya kukutana na kijana huyo aliamuriwa kutoa fedha na baada ya kudai hana, jibu hilo lilisababisha kijana huyo kuanza kumkata Mapanga na alipoangauka na kuzirai alinyang’anywa simu yake ya kiganjani .
Hata hivyo Awila amedai kuwa bado hajatoa taarifa ya tukio hilo polisi
Tags:
kitaifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Mwandishi wa gazeti la MWANANCHI akatwa katwa mapanga mkoani SINGIDA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.