Home
» kitaifa
» Rais Jakaya Kikwete Atimiza Ahadi, Amkabidhi Usafiri aina ya Bajaji Bwana Bashir Msanda Ambaye ni Mlemavu
Tuesday, March 19, 2013
Rais Jakaya Kikwete Atimiza Ahadi, Amkabidhi Usafiri aina ya Bajaji Bwana Bashir Msanda Ambaye ni Mlemavu
Tuesday, March 19, 2013 by Unknown
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi msaada wa Usafiri aina ya Bajaji Bwana Bashir Msanda ambaye ni mlemavu wakati wa mwanzo wa ziara yake ya kukagua na kufungua miradi ya maendeleo jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Makabidhiano hayo ambayo ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Kikwete kumsaidia mlemavu huyo ,yalifanyika katika viwanja vya Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.Picha na Freddy Maro-IKULU
Tags:
kitaifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Rais Jakaya Kikwete Atimiza Ahadi, Amkabidhi Usafiri aina ya Bajaji Bwana Bashir Msanda Ambaye ni Mlemavu ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.