Thursday, March 21, 2013
RAY KUPATA MWALIKO WA UZINDUZI WA SAMSUNG CAMERA
Thursday, March 21, 2013 by Unknown
Nilipata mwaliko toka kampuni ya Samsung nami sikusita kwenda walikuwa wanazindua Camera yao mpya inayokwenda kwa jina la Samsung Camera yenye ubora mkubwa sana na ina internet ndani yake yani unapiga picha na hapo hapo unaproad jamani kweli Dunia imekuwa kijiji embu tucheki mambo yalivyokuwa..
Hapa tukipata picha na kijana wangu Dulla mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo
Dulla
Ben Kinyaiya..
The Greatest nikisalimiana na Raqee Mkurugenzi wa kampuni ya I Vew Media maarufu kwa utengenezaji wa macover ya filamu Tanzania..
Mboni na Dulla wa Planet Bongo kwenye pozi..
Dj Mafufu na The Greatest.
Ratiba zikiendelea.
Ulifika muda wa droo ya samsung atakaye shinda atapatiwa Samsung camera mpya.
Dulla akijalibu zali lake.
Mboni Masimba wa kulia akuwa nyuma katika upande wa misosi na vinywaji..
picha ya kumbukumbu, vijana wangu mmependeza sana..
Amani kwa Dj Choka..
Pozi la mwaka ilo..
Tukiwa makini kufuatilia mambo ya Samsung yanavyokwenda wadau..
Vijana wakikandamiza misosi
Mmoja wa mshiriki katika droo..
The Greatest na Shafii Dauda Mtangazaji wa kipindi maarufu cha michezo toka Clouds Fm
Izzo Bussines mwanamuziki wa kizazi kipya akiwa pamoja na kaka yake The Greatest..
Quick Racka msanii wa kizazi kipya.
Mshindi aliyejishindia Camera mpya ya Samsung.
Tags:
burudani

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “RAY KUPATA MWALIKO WA UZINDUZI WA SAMSUNG CAMERA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.