Sunday, May 5, 2013
MBUNGE LEMA ATEMBELEA ENEO LA KANISA LILILOLIPULIWA HUKO ARUSHA
Sunday, May 5, 2013 by Unknown
Godbless Lema ambaye ni mbunge wa arusha ametembelea eneo la kanisa lililolipuliwa na kuwafariji wahanga wa tukio hilo.....
Akiongea kwa jazba na hasira na wanachi waliopo eneo la tukio,Lema ameitumu serikali kwa mara nyingine na kudai kuwa uzembe wa viongozi ndo chanzo cha matukio kama haya....
Hotuba fupi na nasaha zake zilikuwa zikisikika moja kwa moja kupitia Radio maria kabla ya kituo hicho kuamua kukatisha nasaha zake.....
Haijafahamika mara moja sababu za kukatishwa kwa hotuba yake ...
Bado tunasubiri taarifa rasmi ya vyombo vya ulinzi na usalama kuhusiana na tukio hili
Tags:
siasa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MBUNGE LEMA ATEMBELEA ENEO LA KANISA LILILOLIPULIWA HUKO ARUSHA ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.