Home
» siasa
» Mbunge Wa Mbeya Amtukana Waziri Mkuu Na Kudai Kuwa "Tanzania Haijawahi Kuwa Na Waziri Mkuu Mpumbavu Kama ....."
Saturday, June 22, 2013
Mbunge Wa Mbeya Amtukana Waziri Mkuu Na Kudai Kuwa "Tanzania Haijawahi Kuwa Na Waziri Mkuu Mpumbavu Kama ....."
Saturday, June 22, 2013 by Unknown
Katika hali yakushangaza , mbunge wa mbeya mjini kwa tiketi ya CHADEMA, mh. SUGU ameporomosha tusi zito kwa waziri mkuu wa tanzania ( mh. PINDA ) akidai kuwa Tanzania haijawahi kuwa na waziri mkuu mpumbavu kama yeye.....
Tusi la Sugu limekuja baada ya waziri mkuu kuwaruhusu rasimi polisi kutumia nguvu ya ziada kuwadhibiti wananchi kwa kuwashushia kichapo ili wazitii sheria.....
Hili ndo tusi la mbuge wa mbeya kwa waziri mkuu...
Tags:
kitaifa ,
siasa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Mbunge Wa Mbeya Amtukana Waziri Mkuu Na Kudai Kuwa "Tanzania Haijawahi Kuwa Na Waziri Mkuu Mpumbavu Kama ....." ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.