Home
» kitaifa
» MFALME MSATWI AWASILI LEO JIJINI DAR TAYARI KWA KUHUDHURIA MKUTANO WA SMAT PARTNERSHIP JUNI 28
Wednesday, June 26, 2013
MFALME MSATWI AWASILI LEO JIJINI DAR TAYARI KWA KUHUDHURIA MKUTANO WA SMAT PARTNERSHIP JUNI 28
Wednesday, June 26, 2013 by Unknown
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Mfalme Mswati wa (ii) wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam leo Juni 26, 2013. Mfalme Mswati wa ii, ametua nchini kwa ajili ya
kuhudhuria Mkutano wa 'Smat Patnership' unaotarajia kuanza Juni 28 mwaka huu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Mfalme Mswati ii, baada ya
kuwasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo Juni 26, 2013. Mfalme Mswati wa ii, ametua nchini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 'Smat Patnership' unaotarajia kuanza Juni 28 mwaka huu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Mfalme Mswati ii, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo Juni 28, 2013 kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa 'Smat Patnership', unaotarajia kuanza Juni 28. Kushoto ni mke wa Mfalme Mswati. Picha na OMR.
Tags:
kimataifa ,
kitaifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
- TAZAMA PICHA 11 KUTOKA NYUMBANI KWA MAREHEMU MZEE GURUMO DAR USIKU HUU.
- BREAKING NEWS : MLIPUKO MKUBWA UNAOZANIWA NI BOMU WATOKEA ARUSHA. SOMA HAPA
- ANGALIA PICHA MBALI MBALI ZA MATUKIO YA MAFURIKO YA JIJINI DAR YALIVYO SASA
- POLICE MURDER AL SHABAAB TERRORISTS WHO KILLED 6 AND LEFT A BULLET IN BABY SATRIN'S BRAIN
- MAFURIKO YATIKISA JIJI LA DAR..HALI NI MBAYA
- MLINZI WA OBAMA AFANYA KUFURU NA VIHOKA JUU....
- Hii ndiyo Jumla ya Watanzania waliohukumiwa kunyongwa China.
- UTABIRI WA TB JOSHUA WATIMIA-NI KWELI AIR MALAYSIA ILIANGUKA INDIAN OCEAN NA HAKUNA ALIYE PONA
- ADHABU ZA WABEBA MADAWA YA KULEVYA KWA WABONGO INGEKUWA HIVI LAZIMA WANGEACHA TU...!!
- MAPOLISI WAIPEKUA NYUMBA YA RUBANI WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MFALME MSATWI AWASILI LEO JIJINI DAR TAYARI KWA KUHUDHURIA MKUTANO WA SMAT PARTNERSHIP JUNI 28 ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.