Thursday, June 27, 2013
sina mpango wa kuzaa : JACK PATRICK
Thursday, June 27, 2013 by Unknown
Akichonga na paparazi wetu juzikati jijini Dar, Jack alisema kwa sasa yeye na kuzaa mbalimbali kwa vile ana mipango mingi ya maisha ingawaje anapenda sana watoto.
“Napenda sana watoto lakini sitarajii kabisa kuzaa kesho wala keshokutwa, kwasababu ni lazima ujipange sawasawa ili uweze kumtunza vyema mtoto pindi utakapojifungua,” alisema na kuongea:

“Wanawake wengi wanaharakisha kuzaa matokeo yake ni kuwaacha watoto nyumbani na mahausigeli wakiwa wadogo ili wao wakatafute chochote, lazima ukae na mwanao hata mwaka mmoja aweze kupata malezi bora ndiyo maana nasema lazima ujipange sana.”
Tags:
celebrities ,
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “sina mpango wa kuzaa : JACK PATRICK”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.