Monday, June 17, 2013
Update: Waombolezaji Waanza Kuuaga Mwili Wa Marehemu Langa..!!
Monday, June 17, 2013 by Unknown


Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar.

Langa enzi za uhai wake.…

Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar.

Langa enzi za uhai wake.


Ndugu wa marehemu wakiaga.

Jeneza lenye mwili wa marehemu Langa.

Ridhiwan Kikwete (kushoto) akiwa msibani
Taratibu za mazishi ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Langa Kileo zimeanza rasmi ambapo leo asubuhi ameagwa na familia yake nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar. Waombolezaji wengine watapata muda wa kumuaga mwanamuziki huyo saa 7 mchana na mazishi yanatarajiwa kufanyika Makaburi ya Kinondoni jijini saa 9 alasiri.
Tags:
celebrities

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Update: Waombolezaji Waanza Kuuaga Mwili Wa Marehemu Langa..!!”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.