Friday, June 21, 2013
Video Ya Wanawake Wawili Waliovuliwa Nguo Na Kutembezwa Uchi Kwa Madai Ya Wizi
Friday, June 21, 2013 by Unknown
Kulikuwa na kizaazaa katika eneo la transami huko embakasi hapa jijini baada ya wanawake wawili kuvuliwa nguo na kusazwa uchi wa mnyama.
Kisa na maana walikamatwa kwa madai ya walitaka kumuibia mwanamume mmoja, ambaye waliandamana naye nyumbani kwake jana usiku kwa starehe.
Inadaiwa walimtilia dawa- bwana huyo akalaa fofofo...aliamkia purukushani nyumbani kwake.makinika na malimwengu haya .

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Video Ya Wanawake Wawili Waliovuliwa Nguo Na Kutembezwa Uchi Kwa Madai Ya Wizi”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.