Friday, July 12, 2013
DIVA WA CLOUDS FM AJIPIGA TATOO YA KICHINA KIUNONI...
Friday, July 12, 2013 by Unknown
Katika kile kinachotafsriwa kuwa ni harakati za kulimwagilia maji na marashi penzi lake kwa prezzo, Diva wa clouds fm sasa ameamua kujipiga TATOO YA KICHINA kiunoni ili kumchanganya mwanakaka wa Kenya anayegombaniwa na warembo kibao...
Diva amejikuta katika ugomvi mkubwa na warembo wa Kenya ambao wanadai kunyang'anywa mpenzi wao.Miongoni mwa warembo hao ni Hudahh aliyekuwa mshiriki wa Big Brother mwaka huu akiiwakilisha Kenya...
Kabla ya kujipiga tatoo ya kichina kiunoni, Diva aliwahi kujianika akiwa nusu uchi huku shanga zake zikiwa hadharani.


This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “DIVA WA CLOUDS FM AJIPIGA TATOO YA KICHINA KIUNONI... ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.