Friday, July 12, 2013
"SIPO TAYARI TENA KUMVULIA NGUO MR. BOND.".....AUNT LULU
Friday, July 12, 2013 by Unknown
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amesema yeye na aliyekuwa mpenzi wake, Bond Bin Salim imebaki historia na kamwe hawawezi kurudiana naye japo anayajua mapenzi.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Aunty Lulu alisema ameshaamua kujituliza kwa mpenzi wake wa sasa hivyo hata iweje hawezi kurudiana na Bond.
“Jamani kwa sasa mnaona nimebadili kabisa staili ya maisha yangu hivyo Bond atabaki kuwa rafiki kama walivyo marafiki zangu wengine.
“Niliwahi kuachana naye kipindi flani baadaye tukarudiana kutokana na ukweli kwamba ni mwanaume anayejua kupenda na anayajua mapenzi ,lakini hii ya sasa ndiyo imetoka, kamwe siwezi kurudiana naye,” alisema Aunty Lulu.
Tags:
celebrities ,
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “"SIPO TAYARI TENA KUMVULIA NGUO MR. BOND.".....AUNT LULU ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.