Friday, July 12, 2013

"SIPO TAYARI TENA KUMVULIA NGUO MR. BOND.".....AUNT LULU



Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amesema yeye na aliyekuwa mpenzi wake, Bond Bin Salim imebaki historia na kamwe hawawezi kurudiana naye japo anayajua mapenzi.


Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Aunty Lulu alisema ameshaamua kujituliza kwa mpenzi wake wa sasa hivyo hata iweje hawezi kurudiana na Bond.

“Jamani kwa sasa mnaona nimebadili kabisa staili ya maisha yangu hivyo Bond atabaki kuwa rafiki kama walivyo marafiki zangu wengine.

“Niliwahi kuachana naye kipindi flani baadaye tukarudiana kutokana na ukweli kwamba ni mwanaume anayejua kupenda na anayajua mapenzi ,lakini hii ya sasa ndiyo imetoka, kamwe siwezi kurudiana naye,” alisema Aunty Lulu.

Tags: ,

0 Responses to “"SIPO TAYARI TENA KUMVULIA NGUO MR. BOND.".....AUNT LULU ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI