Friday, July 12, 2013
IRENE UWOYA ALIA NA ULIMBUKENI WA PENZI LA MSANII DIAMOND.....
Friday, July 12, 2013 by Unknown
Kufuatia kuripotiwa kwa habari iliyopewa kichwa "DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA!" , mwanadada Irene Uwoya ameamua kuvunja ukimya na kueleza dukuduku lake la moyoni....
Habari hiyo ililipotiwa jana na magazeti ya udaku ikisimulia jinsi Diamond na Uwoya walivyonasana na hatimaye kuvunja amri ya sita....
Katika habari hiyo, msemaji ni Diamond na wapambe wake ambao wanasimulia jinsi walivyomnasa Uwoya na kumfanya akubali kuvua nguo....
Baada ya habari hiyo kutoka, Uwoya alishindwa kuyaamini macho yake na hii ndo kauli yake aliyoitoa:
“Kuna saa najiuliza kwanin ukimwamini mtu ndio anageuka...kwanin ukiwa muwazi watu wanakuchukulia vbaya?
"Leo( jana) nimeumia sanaaa kuliko sikuzote...sijaamini mtu niliye mwamini kumuona kama rafiki yangu anaweza kuongea shit kuhusu mim...
"Au najiuliza siruhusiwi kuwa na rafik wa kiume? Lakin sa nyingine nakaa chin nasema God ...u know me better”...Uwoya
Tags:
celebrities ,
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “IRENE UWOYA ALIA NA ULIMBUKENI WA PENZI LA MSANII DIAMOND..... ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.