Wednesday, July 3, 2013
KINYAMBE HATAKI KUISHI DAR. HII NDO SABABU ALIYOITOA. SOMA HAPA
Wednesday, July 3, 2013 by Unknown
James Kinyambe mchekeshaji mahiri Bongo. MCHEKESHAJI anayetamba katika tasnia ya filamu na vichekesho Bongo Mohamed Abdalah ‘Kinyambe’ amesema kuwa hata siku moja hajawahi kufikiria kuishi Dar es Salaam pamoja na watayarishaji wa filamu na vichekesho wakimlazimisha msanii huyo ahame Jijini Mbeya na kuishi Dar es Salaam kwani huko ndio kwenye kazi nyingi, lakini yeye anasema kwa sababu ana kitu pekee lazima waandaaji wamfuate. . James Kinyambe katika pozi lake. James Kinyambe akiwa kazini. “Sitaki kuishi Dar es Salaam kwa sababu naona kila msanii akikubalika na kuwa nyota la... more »
Tags:
celebrities

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “KINYAMBE HATAKI KUISHI DAR. HII NDO SABABU ALIYOITOA. SOMA HAPA ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.