Wednesday, July 3, 2013
MKE WANGU HALALI NA MIMI CHUMBANI, ANALALA NA HOUSEGIRL-MSAADA PLIZ
Wednesday, July 3, 2013 by Unknown
Nimekuwa na tatizo hili kwa miezi mitano sasa. Nimejaribu kuvumilia lakini nimeshindwa.
Tumejaaliwa mtoto mmoja wa kiume na kwa sasa mke wangu ni mjamzito. Mke wangu baada ya kupata ujauzito miezi mitano iliyopita amenichukia sana na inafikia kipindi tunagombana sana tukiwa faragha na hadi kufikia uamuzi wa kwenda kulala kwenye chumba na housegirl.
Nimemuomba sana tulale wote chumbani lakini bila mafanikio so nikaamua kumchunia hadi hivi sasa huu ni mwezi wa tano. Je niendelee na msimamo huu wa kulala peke yangu na kama hapana je kuna madhara yoyote kutokana na hali hii? Msaada please
Source:Jamii ForumsTOA MAONI YAKO HAPA
Tags:
mapenzi

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MKE WANGU HALALI NA MIMI CHUMBANI, ANALALA NA HOUSEGIRL-MSAADA PLIZ ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.