Friday, July 12, 2013
Mwanaume Nileyezaa nae haeleweki Natafuta Mwingine Anaye Eleweka
Friday, July 12, 2013 by Unknown
Nilikuwa na mpenzi tuliyedumu miaka sita,bahati nzuri nilipata ujauzito na nikazaa salama,issue inakuja baada ya kuzaa nilifahamu kuwa jamaa kuna mwanamke kamzalisha pia na watoto wetu wamepishana miezi 2.niliamua kuachana nae na sasa mtoto anamiaka mitatu na hajawahi kumhudumia,cha ajabu mwanamke wake anani2kana sana na huyo mwanaume anatangaza kuwa me namuomba matumizi ya mtoto while iz not true.plz nisaidien niwajib nini hawa watu coz kla cku ni msg za matusi...Mimi Simtaki Tena Natafuta Mtu Mwingine anaye Aleweka Ambaye Tutapenda..Japo tayari nina Mtoto Mmoja.
Tags:
mapenzi

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Mwanaume Nileyezaa nae haeleweki Natafuta Mwingine Anaye Eleweka ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.