Friday, July 12, 2013
Haniridhishi Kitandani
Friday, July 12, 2013 by Unknown

Tatizo ni wakati wa ku-sex. Sote tunakuwa na hamu, tunaandaana vizuri then tunaanza kungonoka lakini bao la kwanza si zaidi ya dakika 1, yuko hoi na usingizi hapo hapo hadi anakoroma.
Huwa najitahidi kumshika shika kimahaba huku namwamsha na kumuandaa tena walau aweze kuendelea lakini wapi! Hudai kuwa amechoka.
Pia tukibadili style nikiwa juu yeye chini anarelax yaani ananiacha mie nishugulike mwenyewe. Hadi hamu inaniishia.
Huwa haniridhishi hata kidogo na ananiacha kwenye wakati mgumu. Naomba unishauri nini cha kufanya kwasababu nampenda sana.
Tags:
mapenzi

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Haniridhishi Kitandani ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.