Sunday, July 7, 2013

Picha 5 za Rais Kikwete uwanja wa Taifa leo na alipopuliza filimbi




.

Ni Jumapili July 7 2013 ambapo mpaka sasa hivi saa mbili na dakika 20 Tamasha la Matumaini linaendelea kwenye Uwanja wa taifa ambapo Rais Jakaya Kikwete alikua mgeni rasmi, ilitangazwa kwamba President angekua refa kwa muda mfupi kwenye mechi ya Wabunge wa Yanga vs wa Simba.

Hata hivyo President baada ya kukagua timu alipewa nafasi na kupuliza kipenga kwa ajili ya game kuanza…

President alikua na mkwara kama refa wa kweli yani.. hapa kama alikua anatoa maelekezo flani hivi kwa refa.

.

Kwenye hii picha hapa juu President ilikua ni kabla ya kupuliza filimbi ambapo alisema watu waliomsindikiza wamuache, watoke nje ya uwanja wamwachie nafasi kabla ya kupuliza filimbi.

Baada ya kupuliza filimbi akaikabidhi kwa refa ili game iendelee.

Tags: ,

0 Responses to “Picha 5 za Rais Kikwete uwanja wa Taifa leo na alipopuliza filimbi ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI