Sunday, July 7, 2013
MBOWE AFANYA MAZUNGUMZO NA MAAFISA WA IKULU YA MAREKANI
Sunday, July 7, 2013 by Unknown

Mwenyekiti huyo ambaye pia ni Kiongozi Rasmi wa upinzani bungeni alipata fursa adhimu ya kufanya mazungumzo ya Faragha na maafisa wa Ikulu ya Marekani walioambatana na Rais Barack Obama.
Mpaka sasa kilichozungumzwa na Kiongozi huyo anayeongoza chama kinachopendwa na watanzania wengi zaidi hakijawekwa bayana ingawa wachunguzi wa mambo wanasema yalikuwa mazungumzo nyeti na muhimu kwa mustakabali wa demokrasia na amani ya Tanzania.
Taarifa zaidi zinasema Kiongozi huyo wa Upinzani nchini alialikwa na Ikulu kwa shinikizo kubwa kutoka ubalozi wa Marekani kutokana na Taifa hilo kutambua kazi kubwa inayofanywa na wabunge wa CHADEMA ndani ya bunge la Tanzania.
Tags:
kitaifa ,
siasa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MBOWE AFANYA MAZUNGUMZO NA MAAFISA WA IKULU YA MAREKANI ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.