Wednesday, July 3, 2013
TUKIO LA KUBAKWA KWA MSANII MAARUFU WA BONGO MOVIE....
Wednesday, July 3, 2013 by Unknown
Kuna habari mbaya ambazo zilianza kusambaa mtandaoni jana.Habari hizo zinazomhusu msanii maarufu wa bongo movie ambaye anadaiwa kubakwa (Mtungo ) na wanaume kadhaa.
Habari hizo zinadai kuwa, Msanii huyo wa kike mwenye jina kubwa hapa nchini alikutwa na balaa hilo baada ya kuwachanganya kimapenzi washikaji wawili ambao ni kama marafiki na hivyo wakaamua kulipa...
Ili kutimiza kisasi chao, habari zinadai kuwa "mpenzi mpya" alimuomba msanii huyo wakutane hotelini ili wakafaidi maisha.Wakati huo huo, "mpenzi wa zamani" alipewa taarifa kwamba watakutana hoteli flani na saa flani.
"Mpenzi wa zamani " alitinga eneo la tukio akiwa na vijana kadhaa na kisha akabana sehemu kumsubiri mhanga wa tukio....
Muda ulipofika, msanii huyo akiwa na "mpenzi wake mpya" waliingia hotelini hapo na kujimwaga katika chumba kilichokuwa kimeandaliwa na kwamba ndani yake kulikuwa na vinywaji vyakutosha.
Habari hizo zinapasha kuwa, baada ya muda flani, "Mpenzi mpya" aliaga anatoka nje kidogo..Aliporudi ndani hakufunga mlango.
Dakika chache baadaye, waliingia hao vijana wakiwa na 'mpenzi wa zamani"..Walitembeza kichapo kidogo kwa mrembo kisha wakamtia kilevi na baada ya hapo wakafaidi tunda...!!
Habari hizi hazijathibitishwa...Ni habari ambazo ziko barabarani na mitandaoni tangu jana.. Tunafanya jitihada za kuupata ukweli wa mkasa huu kwa kuwasiliana na wahusika..
Tunaahidi kulianika jina la msanii huyo baada ya UPEKUZI wetu kukamilika ikiwa ni pamoja na kujiridhisha kwa kina juu ya SAKATA hili la aibu
Tags:
celebrities ,
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TUKIO LA KUBAKWA KWA MSANII MAARUFU WA BONGO MOVIE.... ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.