Home
» celebrities
» DIAMOND NOMA:AMZAWADIA MZEE GURUMO GARI MPYA KATIKA UZINDUZI WA VIDEO YAKE MPYA "NUMBER ONE"
Friday, August 30, 2013
DIAMOND NOMA:AMZAWADIA MZEE GURUMO GARI MPYA KATIKA UZINDUZI WA VIDEO YAKE MPYA "NUMBER ONE"
Friday, August 30, 2013 by Unknown
AKIMKABIDHI MZEE GURUMO KARI
Diamond Platnumz jana alifanya uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya, Number 1 kwenye ukumbi wa Serena Hotel jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo ndugu zake, marafiki, wasanii wenzake na wadau mbalimbali wa muziki nchini.
Kwenye uzinduzi huo pia, Diamond alimpa zawadi ya gari msanii mkongwe aliyetangaza kustaafu muziki, Muhidin Gurumo kama heshima kwake.
Tags:
celebrities

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “DIAMOND NOMA:AMZAWADIA MZEE GURUMO GARI MPYA KATIKA UZINDUZI WA VIDEO YAKE MPYA "NUMBER ONE"”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.