Friday, October 4, 2013
BREAKING NEWS:Muhubiri wa kiisilamu auawa Mombasa
Friday, October 4, 2013 by Unknown
Ibrahim Rogo alikuwa muhubiri katika msikiti alipokuwa akihubiri marehemu Sheikh Aboud Rogo ambaye pia aliuawa kwa kupigwa risasi mwaka jana........Rogo ameuawa na wenzake wanne na haijulikani nani kawaua..
Mauaji haya yanakuja wiki mbili baada ya mashambulizi ya kigaidi mjini Nairobi kuwaua watu 67...........

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BREAKING NEWS:Muhubiri wa kiisilamu auawa Mombasa”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.