Thursday, October 3, 2013
MR BLUE "INANIUMA SANA NAPOSIKIA WATU WANASEMA NIMEPOTEA KATIKA GAME"
Thursday, October 3, 2013 by Unknown
Hatimae yule Nguli wa Music wa Bongo Flava Mr Blue Amefunguka na Kuongelea kupotea kwake kwenye Game , Mr blue Amesema kwa sasa game limechange inabidi kusoma kwanza mchezo ndio kuingia uwanjani ....ila ana umia sana anaposikia watu wakisema kuwa hana mpya katika game hilo la music wa kibongo ......Kwa muda sasa Dogo huyu hajatoa wimbo mzuri ambao umewagusa watu na wengine wakileta umbea kwamba ameanza kutumia unga....Anyways ..Dogo we are waiting for u ukishamaliza kusoma mchezo drop us a HIT......
Udaku Specially Blog
Tags:
burudani

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MR BLUE "INANIUMA SANA NAPOSIKIA WATU WANASEMA NIMEPOTEA KATIKA GAME"”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.