Thursday, December 12, 2013
BreakingNEWS: Zitto Avuliwa Rasmi Unaibu wa Kambi ya Upinzani Bungeni
Thursday, December 12, 2013 by Unknown
BreakingNEWS: Zitto Avuliwa Rasmi Unaibu wa Kambi ya Upinzani Bungeni
Dodoma, Tanzania. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe HIVI PUNDE amevuliwa nafasi ya Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni.
Kikao cha Kumvua nafasi hiyo kilianza saa 7:00 mjini Dodoma na kuwashirikisha wabunge wa Chadema. Taariza zaidi, endelea kutembelea habarimasai.com
Updates:
Katibu wa Wabunge Bungeni, David Silinde amesema kwamba Zitto amevuliwa nafasi hiyo kutokana na maagizo ya Kamati Kuu ya Chadema (CC) iliyokaa hivi karibuni na kumvua nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho.
Amesema kwamba hivi sasa nafasi hiyo iko wazi mpaka hapo itakapotangazwa vinginevyo.
Source: www.habarimasai.com

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “BreakingNEWS: Zitto Avuliwa Rasmi Unaibu wa Kambi ya Upinzani Bungeni”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.