Tuesday, December 10, 2013

NISHA "MIMI SIVUTI SIGARI-NAVUTA KWENYE SCENE YA MOVIE TU IKILAZIMU NIFANYE HIVYO"




Mcheza filamu za kibongo Salma Jabu Nisha amesema havuti sigara nje ya filamu hivyo mashabiki wasimtafasiri tofauti wakiona anaigiza kuvuta sigara kwani yeye anafanya jinsi “scene“inavyotaka

Akitolea mfano kwenye filamu ya shaymaa anasema “story“ilitaka avute sigara ndio maana amevuta lakini sio mvutaji kabisa wa sigara kwenye maisha ya kawaida

“mimi sivuti kabisa sigara njee ya filamu hivyo msinitafasiri tofauti jamani navuta sigara kulingana na story inavyotaka“

Tags:

0 Responses to “NISHA "MIMI SIVUTI SIGARI-NAVUTA KWENYE SCENE YA MOVIE TU IKILAZIMU NIFANYE HIVYO"”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI