Monday, March 17, 2014

CHADEMA HOI..YAANGUKIA PUA KALENGA




 
Zile tambo na majigambo za wanaChadema hatimae leo zimefikia tamati baada ya chama hicho kushindwa vibaya katika uchaguzi mdogo wa Kalenga.

Kushindwa kishindo kwa Chadema kunaelezwa kuwa kipigo kikubwa kwa chaguzi za hivi karibuni kwani wameshindwa kupata hata asilimia 20 .

See you Chalinze kuna kibano kinawasubiri.....

Tags:

0 Responses to “CHADEMA HOI..YAANGUKIA PUA KALENGA”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI