Monday, March 17, 2014
CHADEMA HOI..YAANGUKIA PUA KALENGA
Monday, March 17, 2014 by Unknown
Zile tambo na majigambo za wanaChadema hatimae leo zimefikia tamati baada ya chama hicho kushindwa vibaya katika uchaguzi mdogo wa Kalenga.
Kushindwa kishindo kwa Chadema kunaelezwa kuwa kipigo kikubwa kwa chaguzi za hivi karibuni kwani wameshindwa kupata hata asilimia 20 .
See you Chalinze kuna kibano kinawasubiri.....
Tags:
siasa
Kushindwa kishindo kwa Chadema kunaelezwa kuwa kipigo kikubwa kwa chaguzi za hivi karibuni kwani wameshindwa kupata hata asilimia 20 .
See you Chalinze kuna kibano kinawasubiri.....

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 Responses to “CHADEMA HOI..YAANGUKIA PUA KALENGA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.