Wednesday, March 26, 2014
INASIKITISHA WATOTO WATEKETEA KWA MOTO WAKIWA WAMELALA TABORA
Wednesday, March 26, 2014 by Unknown


Watoto hao walipokuwa wamelala na kuteketea kwa moto ambao chanzo chake inadhaniwa kuwa ni hitilafu za umeme.
Miili ya watoto wawili wa familia moja Daniel Paul(8)na mdogo wake Emmanuel Paul(3) ambao wamepoteza maisha baada ya nyumba waliokuwa wakiishi kuteketea kwa moto huku wakiwa wamelala ndani majira ya saa moja asubuhi peke yao huko eneo la mtaa wa Rufita Mwanza road Tabora mjini.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “INASIKITISHA WATOTO WATEKETEA KWA MOTO WAKIWA WAMELALA TABORA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.