Wednesday, March 26, 2014

WANAO TEMBEA NJE YA NDOA NI MATAAHIRA NA WANA IQ NDOGO



Wengi wa watu wetu ni Mataahira, ni kwamba tu hatujakuwa na utaratibu wa kuwacheki watu wetu, lkn naamini idadi ni kubwa sana inaweza kuwa zaidi ya 30%!

Ukiangalia kuanzia Magomvi Majumbani mpaka Ngono Zembe ndio utaliona Hilo, Watu wanaotembea Nje ya ndoa ni Mataahira, yaani wana IQ ndogo kuliko wale wasiotembea nje ya Ndoa!
Kwa maana nyingine IQ zao hazitoshi kuweza kumudu Maisha ya kawaida, ni sawa na Watu wanaofanya Uhalifu pia ni Mataahira wana IQ ndogo...

Tags:

0 Responses to “WANAO TEMBEA NJE YA NDOA NI MATAAHIRA NA WANA IQ NDOGO”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI