Wednesday, March 26, 2014
MBOWE:NI KWELI UKAWA TULIFIKIRIA KUJITOA BUNGE LA KATIBA
Wednesday, March 26, 2014 by Unknown
Akihojiwa na Sauti ya Ujerumani Mbowe ambaye pia ni mwenyekiti wa UKAWA amekiri kwamba ni kweli mpango wa kujitoa upo na kwamba wamekubaliana kuvumilia kwa muda kuwapa Ccm muda wa kufikiria mara mbili kuaha kuvuruga mchakato. "Ni kweli wazo la kujitoa lilikuwepo tangu jana na katika kikao cha leo, lakini tumesihi wenzetu kuvumila kidogo huku tukiwapa nafasi wenzetu kujaribu kerekebisha hali inyoendelea."
Amesma pia kwamba UKAWA hawalalamikii nafasi katika kamatia bali uvunjifu wa makusudi wa kanuni.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MBOWE:NI KWELI UKAWA TULIFIKIRIA KUJITOA BUNGE LA KATIBA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.