Sunday, March 30, 2014

MASHALI AMPIGA KASEBA KWA POINTI




 
Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikwepa konde la Japhet Kaseba, wakati wa pambano lao kuwania Ubingwa wa WBO uliofanyika kwenye ukumbi wa UBO Africa Mashali. Sabasaba jijini Dar es Salaam. Katika pambano hilo Mashali alimshinda mpinzani wake kwa Pointi.

Tags:

0 Responses to “MASHALI AMPIGA KASEBA KWA POINTI”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI