Sunday, March 9, 2014

MWANAFUNZI WA MZUMBE AJINYONGA HADI KUFA BAADA YA KUFELI MTIHANI





Usiku huu nimepokea taarifa za kusikitisha toka Mzumbe kutokana na kifo cha mwanafunzi aliyejinyonga baada ya kufeli....

Inasemakana kuwa Mwanafunzi huyo aliyekuwa anasoma Uchumi kwa ngazi ya Masters katika chuo hicho amejinyonga mpaka kufa baada ya matokeo kutoka jana na kuonyesha amefeli.

Taarifa toka eneo la tukio zimesema kwa sasa shughuli za mazishi zinaendelea nyumbani kwao Njombe

.................RIP.......................

By Jennifer Livigha

Tags:

0 Responses to “MWANAFUNZI WA MZUMBE AJINYONGA HADI KUFA BAADA YA KUFELI MTIHANI”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI