Saturday, March 29, 2014

NAHISI ANA MWANAMKE ZAIDI YANGU..NATAKA NIMFUMANIE KWA SUPRISE VISIT KWAKE




 
Nina age ya 22 nipo kwenye relationship na mwanaume kama miezi 3 saizi tatizo limeanza baada ya mimi kuwa mbali kama 3weeks hivi.
Nahisi anamwanamke zaidi yangu kwasababu hata namna ya kuongea
inanitia mashaka.
Kuna wakati akiongea na mimi anaongea vizuri sana but sometimes nikimpigia simu anaweza akaongea haraka haraka and mda huo najua yupo nyumbani kwahivo hayupo bize.
Nkimuuliza mbonahivo upo na nani? anakata simu then anafunga simu kabisa, kesho yake anaweza kuniambia simu imezima haikuwa na chaji au hapendi maswali yangu kwani
naonyesha kama simuamin.
Nataka nimfanyie suprise visit, sababu nimesharudi safari naye hajui kama nipo hapa mjini ili nijue kama kweli anakua bize au maswali yangu yanamkera na hamna kingine.

Je hii suprise ndio itaua kabisa mapenzi au nifanyaje?

Tags:

0 Responses to “NAHISI ANA MWANAMKE ZAIDI YANGU..NATAKA NIMFUMANIE KWA SUPRISE VISIT KWAKE”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI