Friday, June 28, 2013
HATIMAYE JOKATE AFUNGUKA SENTENSI MOJA TU PENZI LAKE NA DIAMOND PLATNUM KWENDA MRAMA
Friday, June 28, 2013 by Unknown

Jokate aongea baada ya Diamond kukiri kuwa anajuta kumkosea na kuuvunja moyo wake..!!!
Akiongea jinsi alivyomuumiza Jokate,Diamond alisema 'Kwasababu alikuwa too innocent halafu hakuwahi kunikosea kitu chochote Jokate kabisa,halafu nikamwingiza kwenye matatizo,watu wakamchukulia tofauti kwamba 'Jokate kumchukua wema Boyfriend wake' wakati nilimfuata mimi kama mimi, nilimtafuta mwenyewe halafu then nikawa niko naye halafu ghafla nikarudisha mahusiano kwa wema.Sikujisikia vibaya halafu still haikuwa vizuri sometimes nikikaaga hivi nasema nilimkosea.
Kwa upande wa Jokate anasema, Watu wengi hawajui the real issue,I'm grad kama ame acknowledge I was innocent in that whole matter.
Tags:
burudani ,
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “HATIMAYE JOKATE AFUNGUKA SENTENSI MOJA TU PENZI LAKE NA DIAMOND PLATNUM KWENDA MRAMA ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.