Home
» kimataifa
» HAYA NDIO MAJINA NA PICHA ZA WANAJESHI WA TANZANIA WALIOKUFA KATIKA MAPAMBANO NA WAASI DARFUR SUDAN.
Monday, July 15, 2013
HAYA NDIO MAJINA NA PICHA ZA WANAJESHI WA TANZANIA WALIOKUFA KATIKA MAPAMBANO NA WAASI DARFUR SUDAN.
Monday, July 15, 2013 by Unknown
Askari hao waliokufa ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini Sudan ni :-
(1.) Sajenti Shaibu Othuman,
(2.) Koplo Oswald Chaula,
(3.) Koplo Mohamed Juma,
(4.) Koplo Mohamed Chikilizo,
(5.) Pte. Rodney Ndunguru,
(6.) Pte. Peter Werema,
(7.) Pte. Fortunatus Msofe.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kwenye mtandao ni kwamba askari hao walikwenda kujaribu kumwokoa mwenzao (ambaye hakutajwa) ambaye alisemekana kutekwa na vikosi vya waasi nchini humo.
Wakati wakijiandaa, ghafla walizingirwa na askari hao waasi na kisha kushambuliwa kwa risasi hadi kufa.
Haikufahamika hali ya askari huyo ambaye alidaiwa kutekwa kama bado yu hai ama ni miongoni mwa waliokufa.

Mungu azilaze roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina.
Picha na habari : JF

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “HAYA NDIO MAJINA NA PICHA ZA WANAJESHI WA TANZANIA WALIOKUFA KATIKA MAPAMBANO NA WAASI DARFUR SUDAN.”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.