Home
» siasa
» HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUA JANA JIJINI ARUSHA WAKATI WA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI KATIKA KATA 4
Monday, July 15, 2013
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUA JANA JIJINI ARUSHA WAKATI WA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI KATIKA KATA 4
Monday, July 15, 2013 by Unknown
Polisi wakimsihi Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari aondoke nje ya kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya kata ya Kimandolu,pamoja na makada wa CCM hawako pichani ambapo walitakiwa kukaa mita 200 badala ya mita 100.
Polisi wakimsihi Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari aondoke nje ya kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya kata ya Kimandolu,pamoja na makada wa CCM hawako pichani ambapo walitakiwa kukaa mita 200 badala ya mita 100.
Makarani wa uchaguzi wakiingiza masanduku ya kura katika ofisi ya kata ya Kimandolu kutoka kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi kimandolu.
Makarani wa uchaguzi wakiingiza masanduku ya kura katika ofisi ya kata ya Kimandolu kutoka kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi kimandolu.
Polisi wakiimarisha ulinzi katika lango kuu la kuingilia kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya kata ya Kimandolu katika uchaguzi ulifanyika leo mjini Arusha.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUA JANA JIJINI ARUSHA WAKATI WA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI KATIKA KATA 4 ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.