Friday, October 4, 2013
BREAKING NEWSS:IBRAHIM ROGO AUAWA KINYAMA NCHINI KENYA
Friday, October 4, 2013 by Unknown
Mrithi wa Al marhum shekh Aboud Rogo aitwae Ibrahim Rogo ameuawa kinyama na watu wasio fahamika nchini Kenya mtindo huu wa uuwaji unafanana na vile Aboud Rogo jinsi alivyouuawa na watu wasiofahamika.Shekh Ibrahim Rogo ameuawa usiku wa kuamkia leo leo akiwa anatokea mskitini,akiwa pamoja na wenzake kwenye gari ndogo,jumla ya watu wanne inasemekana kuuawa kwa kupigwa risasi na watu hao wasiofahamka.Mauaji hayo ya kinyama yametokea wiki mbili tu baada ya tukio la uvamizi wa
Wastegate mall mjini Nairobi




Salim Adbi pekee ndiye aliyenusurika kifo
Tags:
kimataifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BREAKING NEWSS:IBRAHIM ROGO AUAWA KINYAMA NCHINI KENYA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.